However, it is important to note that the establishment of the Kiswahili Council will not and is not intended to replace and substitute other local languages of national heritage like some tribes claim but rather to harness benefits of greater wider integration, mutual and reciprocal benefits under the common market protocol, free movement of Labour and tapping into wider business opportunities and employment. Wahusika bapa huwa ni wa aina mbili, wahusika bapa sugu na wahusika bapa vielelezo. Nilichukua wajibu kuwauliza watu kadhaa kupitia kurasa tofauti za mitandao ya kijamii kuhusu nafasi ya Kiswahili katika vyombo vya habari vya Uganda, baadhi majibu yalishuhudia haja ya kupata Kiswahili katika vyombo vya habari vya Uganda kwa ajili ya maendeleo yake ya haraka. Haya hatimaye yanagusa hali halisi ya mazingira ya kukosekana haki, hali ambayo inabidi ishughulikiwe ili haki iweze kupatikana. Jinsi ya pili ni kutumia maudhui kukirejelea kiwango cha kimaana cha matini au kazi ya kifasihi.
nest...